County Government of Lamu

PHONE: 0715 555111

EMAIL: info@lamu.go.ke

P.O BOX 74 - 80502

Sadani Kupata Hati Miliki

Mstahiki Gavana Issa Timamy Kupitia Idara ya Ardhi, anatazamiwa kuweka kumbukumbu ya kihistoria baada ya kufanyika kwa uzinduzi wa upangaji na upimaji wa Ardhi ya Sadani Lamu Mashariki.

Hii leo,Waziri wa Ardhi, Mipango ya miji na Maji Tashrifa Bakari, amekutana na wakulima wa Sadani, ili kuunda kamati itakaosaidia kusimamia shughuli hiyo.

Aidha, Waziri Tashrifa aliitambulisha kampuni ya Utaalamu wa kupima mashamba na kupanga miji ya B & L SURVSPACE LTD, iliyotekwa jukumu la kupima eneo hilo la Sadani kwa wananchi.

Eneo la Sadani lilikuwa ni makaazi na mashamba ya ukulima kabla ya wenyeji wake kuhama kufuatia uvamizi wa shifta.

Akizungumza na wakaazi hao, Waziri Tashrifa amewasihi wakaazi hao na hasa kamati iliyochaguliwa, kushirikiana na wataalamu wa upimaji pamoja na maafisa wa serekali ya Kaunti kufanikisha zoezi hilo.

Waliokuwepo ni Afisa mkuu wa Ardhi Ahmed Ali pamoja na Mkurugenzi wake Patrice Lumumba na Easter Nzai wa Tume ya Ardhi nchini (NLC)Lamu, miongoni mwa wengine.

Simambae kupata hati miliki baada ya miongo 6 ya mahame

Idara ya Ardhi imezindua rasmi upimaji wa Kijiji cha zamani cha Simambae kilichoachwa mahame kwa miongo 6 baada ya wakaazi wake kuhama kwa lazima kufuatia uvamizi Wa kinyama washifta.

Kijiji hicho cha zamani, kilivunjika baada ya watu wake kuhamia maeneo ya Malindi, Kilifi na hata nchi jirani ya Tanzania kufuatia uvamizi wa mara kwa mara uliowaletea maafa.

Akizungumza baada ya uzinduzi huo, Waziri wa Ardhi Tashrifa Bakari, amesema ari ya mstahiki Gavana Issa Timamy, nikuona kuwa mji huo umekuwa na watu wake wamerudi nyumbani baada ya kuwa wakimbizi wa ndani na kuhama makwao mnamo mwaka 1963.

Wanasimabae wamempongeza Gavana Timamy kwa kuweka historia ya kuwapimia Ardhi ambayo wazazi wao waliziacha kwa kuhama bila khiyari.

Kijiji cha Simambae kitapata sura mpya baada ya zoezi hilo la kupima mji na mashamba kukamilika.

Wakati huo huo, wakaazi wa Mkokoni walipata fursa ya Kupitia na kuidurusu ramani ya sehemu hiyo ambayo waliweza kuafikiana na upimaji kuanza mara moja.

LAMU COUNTY AND NATIONAL GOVERNMENT PARTNER TO MARK NATIONAL TREE PLANTING DAY AT WITU

Towards achieving the Presidential campaign of planting 15 billion trees by 2032, Lamu County Government jointly with the national government has today joined the rest of the nation in marking the National Tree Planting Day at Mambo Sasa in Witu Ward .

Deputy Governor and Climate Change CECM HE Raphael Munyua represented Governor Issa Timamy in the exercise where he encouraged the participants to carry on with the remarkable exercise.

Speaking at Mambo Sasa, the DG further emphasized that together with development partners they will continue providing tree seedlings as unprecedented show of commitment by the government towards our climate action obligations.

12,000 trees were planted today adding to a total of over 100,000 trees planted since the build up for the event began.

Also present was County Commissioner Mr. Louis Rono, County Secretary Amb. Ali Abbas, Lamu Senator Hon. Joseph Githuku, Woman Representative Hon. Monica Marubu, Lamu East MP Hon. Ruweida Obo, NPS Chair Mr. Eliud Kinuthia, MCAs, CECMs, Chief Officers and representatives from KWS, KEFRI, KFS, NRT, Waridi Foundation, Financial Institutions, CBOs among others.

_Ends_

For more information contact:

Lamu County Government Communications Office at communication@lamu.go.ke

Wizara ya Elimu, Vijana, Jinsia na Michezo Kaunti ya Lamu, hii leo imendaa kungamano la Uwezeshaji wa wanawake kiuchumi.

Kungamano hilo, limehudhuriwa na Mshauri wa Rais kwenye maswala ya kinamama, Bi Harriet Chiggai.

Miongoni mwa changamoto zilizojadiliwa ni:-

Dhulma za kijinsia kwa wanawake na watoto.

– Yanayoathiri wanawake kiafya.

– Hali ngumu ya kufanya biashara.

– Ndoa za mapema.

– wazazi kuficha maovu, miongoni mwa mengine.

Akihutubia wanawake hao,Bi. Chiggei ameahidi kusaidia shirika la utetzi dhidi ya Dhulma za kijinisia hapa Lamu, ili kupiga jeki harakati zao za kukabiliana na maovu hayo.

Waliohudhuria kungamano hilo ni pamoja na Waziri wa Elimu, Sebastian Owanga pamoja na Afisa wake Mkuu Madam Hafswa Difini, afisa wa Jinsia Penina Mathieu miongoni mwa wengine.

STAKEHOLDERS SENSITIZATION MEETING ON PHASE 2 POLIO IMMUNIZATION CAMPAIGN

Lamu County Department of Public Health and Sanitation in Collaboration with Ministry of Health, Core Group Partners Project(CGPP) and other development partners, plan to roll out a phase 2 polio immunization campaign countywide that will kick off from 11th November to 15th November 2023.

During the phase 1 polio immunization campaign, a total number of 28,010 children under 5 years were vaccinated all over the County. This was a 104 % achievement depicting a huge success in the phase 1 campaign

Lamu County is considered among the under high risk, since its bordering Somalia and Garissa County where polio cases have been reported.

In today,s Stakeholders sensitization meeting held at Maarus hall , the CECM Health Dr.Mbarak Bahjaj, called on support from all stakeholders to encourage uptake of the vaccination and engage in dissemination of accurate information to the public so that every under 5 years child get vaccinated against polio virus.

He also assured that the vaccines are safe to our children.

Community members living in Juhudi IDP camp volunteered to build toilets and tank stand in support of the construction of the new police camp at Salama.

This is continued effort by the County Government of Lamu led by Governor Issa Timamy to maintain peace and security at Marafa, Juhudi, Salama and Widho areas.

Though secutity is not a devolved function, the county government remains committed to work with security agents to restore calm in Lamu county.

-Ends-

INTRODUCTION OF PHASE 2-KENYA INFORMAL SETTLEMENTS IMPROVEMENT PROJECT(KISIP 2)INFRASTRUCTURE CONSULTANT

County Secretary Amb. Ali Abbas, Senior government officials and Lamu KISIP 2 Coordination team held a consultative meeting with the state department of housing and urban development led by Sam Mbora and the KISIP consultant team from East Africa Engineering Consultant jointly with Italian Company led by Eng.Caleb Murila.

The Purpose of the meeting was to introduce the KISIP 2 consultant who will design infrastructure and supervise jointly the implementation of the project with the Lamu KISIP 2 Coordination team for the six informal settlements.

On behalf of the governor Issa Timamy, Amb. Abbas assured the State department of housing and urban development and the KISIP 2 consultant of their support and collaboration in implementing the project and thanks the National Government and the world bank for the funding.

The KISIP 2 Project seek to improve access to basic services and land tenure, security of residents in six informal settlements within Lamu County and strengthen institutional capacity for slum upgrading in Kenya.

The six informal settlements which are set to benefit from KISIP 2 includes:- Kiunga,Faza, Matondoni,Wiyoni, Mokowe and Witu .

In attendance was CECM Lands, Infrastructure and Urban Development Tashrifa Bakari, Lamu County Project Coordinator Omar Sagaff among others.

County Government of Lamu in partnership with the national government has today officially commenced the construction of Salama police camp in Mkunumbi Ward.

The camp will be instrumental towards beefing up security along Mkunumbi, Marafa, Juhudi, Salama and Widho security road that is currently under construction.

The launch was commissioned by the Deputy Governor HE Raphael Munyua, area MCA Hon. Paul Kimani and Lamu West DCC Mr. Gabriel Kioni

Lamu Governor Issa Timamy EGH, OGW on Saturday hosted President Dr. William Ruto in Lamu to launch development projects.

President Ruto who was accompanied by his Deputy HE Rigathi Gachagua was in Kizingitini where he launched the construction of the first tarmac road in Lamu East. The 50-Kilometre Mtangawanda, Faza, Kizingitini and access roads that will unlock the island’s potential and boost security.

The President also opened the Lamu East Technical and Vocational College that will equip the youth with technical competence to drive our country’s transformation agenda.

Present were Cabinet Secretaries Onesmus Kipchumba Murkomen, Aden Duale, Salim Mvurya, Hon. Aisha Jumwa Katana, Ezekiel Machogu, Speaker of the Senate Amason Kingi, Lamu Deputy Governor Raphael Munyua, MPs and MCAs.

-Ends-

Translate »