County Government of Lamu

“Kituo cha biashara cha Lake Amu kilichopendekezwa mpango wa matumizi ya ardhi ya 2023”.

Kufuatia uzinduzi wa Upangaji na Upimaji wa eneo la Lake Amu kama Kituo cha Kibiashara na Mstahiki Gavana Issa Timamy majuma kadhaa yaliyopita huko Mpeketoni, hii leo Waziri wa Ardhi Tashrifa Bakari akiwa ameandamana na timu ya washauri pamoja na maafisa wengine wakuu kutoka Idara yake, wameandaa kikao na kamati simamizi ya eneo hilo, na kuiwasilisha rasimu ya plani iliyopendekezwa ili kuitathmini na kutoa maoni yao.

Baada ya hapo, rasimu hiyo itawasilishwa kwa wananchi ili kupokea maoni kabla ya kutekelezwa kwa mpango huo.

-Mwisho-

Kwa maelezo zaidi wasiliaana na afisi ya mawasiliano kwa:- communications@lamu.go.ke

Serekali ya Kaunti ya Lamu kupitia Idara ya Ardhi mapema hii leo, imeandaa vikao vya Ushiriki wa umma na wakaazi wa Mokowe na Kisiwani Amu ili kukusanya maoni ya kutathmini na kudurusu kiwango cha reti zinazotozwa mashamba.

Vikao hivyo, vinanuiwa kuwajulisha wananchi umuhimu wa tathmini hiyo na ni vipi itamsaidia mlipa reti kujua kuongezeka kwa thamani ya shamba lake na kuchangia ongezeko la ushuru kwa Kaunti.

Maoni hayo, yanakusanywa kutoka miji ya Kisiwa Cha Amu, Mokowe, Hindi na Mpeketoni.

Kwa mujibu wa kifungu cha Sheria cha 267 kutoka Serekali ya kitaifa inatakiwa kufanyika kwa tathmini ya mashamba kila baada ya miaka 10.

Miongoni mwa waliohudhuria vikao hivyo ni pamoja na Waziri wa Ardhi Tashrifa Bakari, Afisa Wake Mkuu Ahmed Loo, Meneja wa Manisipaa ya Lamu Abduswamad Ali miongoni mwa wengine.

-Mwisho-

Kwa maelezo zaidi wasiliaana na afisi ya mawasiliano kwa:- communications@lamu.go.ke

Portuguese Ambassador to Kenya, Amb. Ana Filomena has this morning paid a courtesy call on Lamu Governor H.E Issa Timamy EGH, OGW at the County Headquarters in Mokowe.

The two exchanged views on possibilities for future cooperation.

Kinga ni Bora kuliko kutibu

Serekali ya Kaunti ya Lamu kupitia Idara ya Afya imezindua rasmi mpango wakukabiliana na magonjwa ya kuharisha na ugonjwa wa malaria ikiwa ni njia moja wapo ya kujitayarisha ili kupambana na makali ya mvua ya elnino inayotarajiwa kunyesha hivi karibuni.

Akizindua rasmi mpango huo kwa wakaazi wa Mokowe katika makao makuu ya afisi za kaunti, Gavana Issa Timamy amesema Serekali yake imeweka mikakati kabambe ili kuhakikisha kuwa wakaazi wake wako na afya mzuri na salama.

Aidha, Gavana Timamy amewasihi wakaazi wa wote wa kaunti ya Lamu kutojenga katika maeneo ya mapito ya maji na kuongeza kuwa huenda wakalazimika kubomoa nyumba ambazo zimejengwa juu ya njia za maji huku akitoa mfano wa eneo la Mokowe ambapo nyumba kadhaa zilisombwa na maji.

Kati ya mwezi Aprili na Julai Idara ya Afya imenakili visa 6,600 vya magonjwa ya kuharisha inayoletwa na maji machafu ya kusimama.

Vifaa hivyo ni pamoja na machine za kisasa zakupulizia dawa ya kuuwa mbu, neti za mbu pamoja na dawa za kuweka kwa maji yakunywa.

Waliohudhuria hafla hiyo fupi ni pamoja na afisa Mkuu wa wafanyikazi Abdulnasir Issa, Waziri wa Afya Dkt. Mbarak Bahajaj, wakurugenzi wa Afya pamoja na wafanyikazi wengine.

-Mwisho-

Kwa maelezo zaidi wasiliaana na afisi ya mawasiliano kwa:- communications@lamu.go.ke

TALANTA HELA U_19 GIRLS’ TOURNAMENT KICKS OFF IN WITU

Talanta Hela under 19 girl’s tournament has kicked off this morning in Witu Ward with 8 teams competing for individual slots to be part of the official County under 19 girls’ team.

Tomorrow, Talanta Hela U_19 tournament will be played at Muungano grounds in Mpeketoni before moving to Hindi Ward on sunday.

Talanta Hela U_19 tournament seeks to identify the best female footballers who will be enlisted to represent the county at the regional games with the best two teams expected to play during the Jamhuri Day national celebrations in Nairobi.

County Government of Lamu has already completed Talanta Hela U_19 boys tournament and the team awaits to compete in the regional games in September.

County Government of Lamu under the stewardship of H.E Governor Issa Timamy EGH, OGW has been sponsoring Talanta Hela tournament as part of nurturing and promoting sports amongst youths as well as create alternative source of revenue for the youths.

Today’s kickoff was graced by Youth and Sports CECM Hon. Sebastian Owanga who was accompanied by Chief Officer Md. Hafwa Difini and Sports Officer Peter Ndichu.

-Ends-

For more information contact communications office at; communications@lamu.go.ke

COUNTY TARGETS TO WORK CLOSELY WITH KVF TO REVIVE VOLLEYBALL IN LAMU

Kenya Volleyball Federation Lamu Branch Chair Mr. Gabriel Kariuki together with the newly elected KVF Lamu Branch board members paid a courtesy call on Sports CECM Hon. Sebastian Owanga on Tuesday this week at the County Headquarters in Mokowe.

The meeting delved on how KVF and County Government of Lamu will work together towards reviving volleyball sport in Lamu.

Hon. Owanga said at the meeting that County Government of Lamu is actively supporting and strengthening many sporting activities as part of fulfilling H.E. Governor Issa Timamy promise in nurturing and strenthening sports activities across the county.

The Department of Youth and Sports promised to assit the newly elected officials in ensuring their board is fully affiliated to KVF, provision of volleyball equipment to teams, training of volleyball referees’, improvement of volleyball infrastructure and supporting local teams to participate in regional and national championships.

County Youth and Sports Chief Officer Md. Hafswa Difini affirmed that her Department will continue growing talents in sports and creative arts as a sustainable program of employment creation.

KVF Chair Mr. Kariuki thanked Governor Timamy for his evident commitment in supporting and reviving volleyball sports which had been neglected and ensuring the county is able to produce strong teams that can compete at the top level.

Also in attendance was Sports Officer Peter Ndichu

-Ends-

For more information contact communications office at; communications@lamu.go.ke

Lamu Governor HE Issa Timamy EGH, OGW attending COG full Council meeting chaired by H.E Anne Waiguru to discuss issues affecting Counties. Governors will receive and consider the Land Housing and Urban Development Committee’s recommendations on the proposed market development program, preparedness of #DevolutionConference2023, and the legislative analysis of the proposed County Governments (Amendment) Bill, 2023 among others.

Music & Dance Lights Up Bursaries Disbursement Ceremony In Mokowe

After dancing their way through to the finals of national dancing competitions, the 19 dancers from Bahati Njema Primary School in Mkunumbi Ward, had an opportunity to grace the colourful Lamu West bursary disbursement luncheon at Mokowe Headquarters on Friday.

Lamu Governor H.E Issa Timamy EGH, OGW among other distinguished guests were entertained with edgy contemporary choreography from the teens, who finished as second runners up in the just concluded coast region music festivals, winning a place to represent coast region at the national finals in Nyeri.

The pupils’ who were sponsored by County Government of Lamu to take part in the regional competition, expressed their optimism in pushing the boundaries through choreography as a tool to educate the masses on the importance of wildlife conservation through their song ‘Wanyama Pori Hazina’

Governor Timamy who was thrilled by the entertainment, committed to support the pupils’ towards ensuring they take part in the national competition and further committed to keep his promise of nurturing talents among students and the youths since it has been proven the youth can earn their living through their talents and develop themselves financially and socially.

During the luncheon, County Government of Lamu disbursed a total of Sh. 11.361 million to 3,246 students from Lamu West Sub-County.

– Ends-

For more information contact communications office at; communications@lamu.go.ke

County Government of Lamu Issues Over Sh. 11 Million in Bursaries To Needy Students

A total of 3,246 students from Lamu West Sub-County are a happy lot after the County Government of Lamu awarded them school bursaries worth Sh. 11.361 million.

Speaking at Mokowe County Headquarters during the official launch of bursary disbursement cheques where all heads of secondary schools from Lamu West were invited, Lamu Governor H.E., Issa Timamy EGH, OGW said students who were needy would benefit immensely from the funds by being able to remain in school uninterrupted.

“This life transforming initiative is part of my education agenda. Today we have collectively distributed Sh. 11.361 million benefitting 3,246 students, thus contributing a lot to the social development of our County,” reiterated the ANC Party leader.

The Governor further noted that his administration had already disbursed Sh. 3.2 million to Lamu East Sub-County and expressed his commitment towards supporting the education sector across the county since it’s the only way the Government can change the lives of our children and support the dreams of bright but needy students from Lamu.

Presently, County Government of Lamu is sponsoring 2,245 students under full scholarship, 309 student from the marginalized communities of Sanye and Boni and 3,246 enrolled under bursaries.

Members of the County Assembly (MCAs)present lauded the Governor’s efforts in making sure more needy students get bursaries to make them stay in school.

During the disbursement of funds ceremony, the Governor was accompanied by his Deputy H.E Raphael Munyua, CECMs, Chief Officers, MCAs led by Deputy Speaker Hon. Paul Kimani, Hindi MCA Hon. James Njaaga, Mkomani MCA Hon. Shekhuna Abbas, Bahari Ward MCA Hon. Francis Gakonga, Witu MCA Suleiman Farah and nominated MCAs Hope and Asha.

-Ends-

For more information contact communications office at; communications@lamu.go.ke

Translate »
Skip to content